Perry JF-Expert Member Joined Feb 24, 2011 Posts 10,058 Reaction score 2,195 Aug 3, 2012 #1 Nauliza tu wakuu kwa maana nimeona leo kwenye gazeti flani kwamba aliugua ghafla na akalazwa.
Money Stunna JF-Expert Member Joined Aug 9, 2011 Posts 13,053 Reaction score 6,304 Aug 3, 2012 #2 anaendelea vizuri,anasema baada ya kuumwa sana kifua ikabidi apime ngoma maana alikuwa na wasiwasi nayo,lakin ajataja majibu,ila anaendelea vizuri baada ya kupata matibabu ya kifua yaliyotokana na kufanya kaz sana bila kumpumzika,hivo usijali mkuu
anaendelea vizuri,anasema baada ya kuumwa sana kifua ikabidi apime ngoma maana alikuwa na wasiwasi nayo,lakin ajataja majibu,ila anaendelea vizuri baada ya kupata matibabu ya kifua yaliyotokana na kufanya kaz sana bila kumpumzika,hivo usijali mkuu
mr gentleman JF-Expert Member Joined Aug 1, 2012 Posts 3,222 Reaction score 4,689 Aug 3, 2012 #3 Kikwete ajaenda kumpa pole??
Gang Chomba JF-Expert Member Joined Feb 29, 2008 Posts 20,649 Reaction score 4,786 Aug 3, 2012 #4 mimi sichezi karata Naogopa kuolewa Na nkiramba Garasa Watu watanizomea...X2