Kuna mwenye ukweli na hili???

Uhuru24

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2015
Posts
4,112
Reaction score
4,361
Nimepita instagram nimekutana na hili tangazo,sasa nikataka kujua channel zipi zinapatikana kwenye hicho king'amuzi ndio akanitumia oradea yote ya hizo channel kama imabyoonekana.

Nikapiga picha nikaona mbona hili ni kama zogo la DStv??? Sasa huku tunaishi toauti hivyo labda mwenye uelewa au kufahamu na hata kutumia basi si mbaya nae alitupatia A B,C za hiki king'amuzi.
 

Attachments

  • Screenshot_20240511-132647_Instagram.jpg
    565 KB · Views: 4
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…