Kuna mwenye wazo la kibiashara la mabaki kama mifupa, ngozi na vichwa vya samaki?

Joined
May 31, 2021
Posts
96
Reaction score
285
Habari wa jf

Kuna mtu yoyote mwenye idea au kufahamu kuhusu biashara ya mifupa ya samaki, ngozi na mabaki mengine, maana kuna mahali naweza kupata zaidi ya tani 5 kwa siku.

Naomba mwenye uzoefu au kujua soko au fursa na kitu cha kufanya kupitia mabaki ya samaki.
 
Kwa dsm ivyo vitu unauza masoko yapo dsm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…