Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Amfungulie tu mlango ajichukulie anachotaka.Mwizi nae ni mtu,athaminiwe.Inuka upambane....mwanaume kaza
Amfungulie tu mlango ajichukulie anachotaka.Mwizi nae ni mtu,athaminiwe.
Inuka upambane....mwanaume kaza
Wewe leo hulali walahi! Umenishinda hadi mimi
Inama, akikuona atakimbia. Atakosa hata hio shabaha. Na piga simu Polisi usipoteze data za wengine kwa kuzimisha zako [emoji23]
Aisee hizi hela za mitandaoni [emoji23] [emoji23]
Wanaume wa dar taabu sana, huna hata panga toka kapambane yaan mwizi mmoja tu unajokojolea hivo.mkeo anakuonaje
π[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] af ananifokea
Anakuja kukubaka
Una stories nyingi hadi hauaminiki.Guys ase kuna mwizi hapa kwangu anazunguka nimejaribu kumfokea amenijia juu eti ananiambia tulia wewe mtoto wakiume uku anajaribu kufungua mlango nifanyeje na simu haina sms wala dakiki in bando tu [emoji24][emoji24][emoji24] majirani mwizi
Una stories nyingi hadi hauaminiki.
Ndiyo mbakane sasa.Mimi pia kibaka sasa sijui itakuwaje