Kuna mzazi mwanae kapangiwa diploma ya ualimu na amekaa ametulia?

EstherSaid

Member
Joined
Jun 3, 2024
Posts
38
Reaction score
84
Kwa kweli naishiwa pozi nkitazama jinsi waalimu wanavyobabaika na ajira portal. Hebu wewe kama mzazi kaa chini tafakari kwani siyo kila kitu mwanao atapangiwa lazima aende. Kama umeridhia bas sawa 😹😹muandae mtoto kuingia kweny ukulima pia baada ya kumaliza chuo, huku akiendelea kujitolea na mtie moyo wa kuzunguka na vyeti kutafuta ajira serikalini🤜🤛
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…