Kuna mzee mmoja aliishi miaka mingi baada ya kujiona keshakua mzee akawaambia wanawe nitakapokufa mimi vunjeni hii nyumba nimeweka mali nyingi hapo chini
Baada ya kufa watoto walivunja ile nyumba na kukuta kasha
wakalifungua wakakuta karatasi imeandikwa kama nyinyi madume basi jengeni ya kwenu[emoji23][emoji23]
Hapo Ndio Mtakapo Jua Kwanin
Muuza Kahawa anatembea Na Vyombo Vya Moto Na Hana Lesen