kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Tubadilike wanalunyasi
Mi mawe na nondoNajitolea cement kwenye ujenzi wa sanamu
We umemuelewa alichokiandika?Ngoja ndugu zako waje wakukane wazi wazi kuwa wewe siyo mwenzao!
AahaaaaaaKabla ya mechi za leo sisi mashabiki wa simba tuliambiwa hapa jf tuchague upande either yanga anakufa Kigali au laah.
Ili rusionekane vigeugeu mbeleni, tukachagua upande wa wasudan
Leo baada wa sudan [emoji1232] wamechezea tumeanza visababu. Kuna namna rage alikuwa Sawa maana kuna umbumbumbu na mashabiki mipang'ang'a wengi sana upande wetu.
Ndio maana mwamedi anatuburuza kwa tuvitu tudogo sababu ya umbumbumbu wetu. Tunadilike wanalunyasi wenzangu.
Unamzungumzia huyu robo robo fc? Msimu huu ataishia raundi ya kwanza.Kabla ya mechi za leo sisi mashabiki wa simba tuliambiwa hapa jf tuchague upande either yanga anakufa Kigali au laah.
Ili rusionekane vigeugeu mbeleni, tukachagua upande wa wasudan
Leo baada wa sudan [emoji1232] wamechezea tumeanza visababu. Kuna namna rage alikuwa Sawa maana kuna umbumbumbu na mashabiki mipang'ang'a wengi sana upande wetu.
Ndio maana mwamedi anatuburuza kwa tuvitu tudogo sababu ya umbumbumbu wetu. Tunadilike wanalunyasi wenzangu.
Aliyeelewa anitagKabla ya mechi za leo sisi mashabiki wa simba tuliambiwa hapa jf tuchague upande either yanga anakufa Kigali au laah.
Ili rusionekane vigeugeu mbeleni, tukachagua upande wa wasudan
Leo baada wa sudan [emoji1232] wamechezea tumeanza visababu. Kuna namna rage alikuwa Sawa maana kuna umbumbumbu na mashabiki mipang'ang'a wengi sana upande wetu.
Ndio maana mwamedi anatuburuza kwa tuvitu tudogo sababu ya umbumbumbu wetu. Tunadilike wanalunyasi wenzangu.
Aliyeelewa anitag
Hersi anatumia yanga kujijenga kifala sana
Wewe utakuwa ni kijana wa Rage bila shaka! Kuelewa mpaka uitwe mbumbumbu! 😃We umemuelewa alichokiandika?
Huwezi kuelewa mbumbumbu pro maxAliyeelewa anitag
Tunakumbushana mwanalunyasi mwenzanguIla mnakeraaaa....
Hahaha hahaha,sister vipi tenaIla mnakeraaaa....