Atokee mtu anipeleke nikasome USAJamani wana JF kuna malalamiko mengi ya wazazi na wadhamini wanaofadhili watoto kwenda vyuo nchi mbali mbali.
Sio wote wanaokwenda hizo nchi wakafanya vizuri ila wimbi kubwa linapotea sana kwa sababu kilicho wapeleka kusoma kukifata hakipo.
Hizi nchi kama mtoto hashikiki na mda wote anaweza kubadilika kabisa.
Nchi hizi ni USA,CANADA,CHINA NA MALYSIA.
asilimia kubwa watoto wanao kwenda nchi za china na usa ushindwa kusoma na kufanya mengine ambayo ni majuto.
Hili na zungumzia kwa sababu nimeshuhudia watoto wengi waliopelekwa china mwisho wa siku wameacha chuo,matokeo mabovu kwa sababu ya biashara zilizopo huko.
na USA asilimia kubwa watoto ubadilika na kuanza kufanya mambo ya ajabu hata kuacha chuo kuanza kufanya kazi.
Tunajadili na kutoa ushuuda
Ninamfahamu muhindi alimpeleka binti Malaysia, Baba akamchukulia apartment kakupa kila kitu, siku Ka 5 akakaa naye, akarudi Bongo.Kama mzazi unajiweza unapelekaje mtoto kusoma ASIA
ASIA yote inakimbilia Ulaya
Turudi kwenye mada
Nakubaliana na mtoa mada kwa sababu watoto wengi hawajalelewa katika mazingira ya kujitegemea
Nimetoka Kampala jumatano hapo,ulisemalo ni kweli,...Uganda sio nchi nzuri kwa watoto wa kike kusoma.Watoto wakibongo wanaosoma chuo Uganda wengi wanafanya umalaya wazazi muwe makini sana,,,wasichana wakule wengi wamepinda,wezi wanapenda hela hao,Wanafanya chochote wapate hela,Chupi zenyewe hawavai full vimin noma sana na ile miili yao, afu hawa wabongo wakienda ndio wanakua marafiki zao hatar!
Mkuu nifanyie koneksheni ya kazi Basi inaonekana family yenu muko vizuri sanaKuna huyu mwingine naye ni familia maana wengi kwenye ukoo wameenda canada. Now he is 45+ yan network haisomi kabisa, kula vitu vya tanzania hawezi ni biscut, ma cornflakes na vichocolate. Basi hapa ndio akaekwa kweny kampuni walau asikae tu ndani awe zombie kazi yake ni kufika asubuhi job na kulala mda wa lunch aende akale mbali na wafanyakazi wenzake sijui anahofia kulogwa au vipi au awe na vibiskuti akalie chooni, begi hashushi kamwe mgongoni yani mtihani tupu. Sasa sijui canada ndio imemuaharibu au kuna mikono ya watu
Huyu kavunja rekodiInawezeka mkuu Kuna ndugu yangu alikwenda kusoma china Mambo ya petroleum engineering bt Cha kushangaza amerudi bongo Sasa ivi ni bodaboda Sasa sijui kilichomkuta huko ni ni ni
Yan anatia huruma wazaz wake wamefariki wote yupo tu kwenye mjengo wao masaki hana hili wala lile na wenyewe wapo wawili mwenzake kabaki huko canada. Mwaka jana mama yao alikua kwenye life supporting machine yule wa canada akarudi amekaa wiki akawa anawaambia baba zake wakubwa mama atolewe machine ili afe ye arudi zake canada sasa sijui ni bahati nzuri au mbaya kabla kikao hakijakaa kama atolewe ile machine akafa jioni yakeAisee
Too bad company nayo inaenda kupotea miradi mingi ya serikali hawakulipa kipindi cha magufuli na wengi wamepunguzwa kwa hiyo sijui tuseme ndo inataka kuanza kunyanyuka upya lkn workers wamepunguzwaMkuu nifanyie koneksheni ya kazi Basi inaonekana family yenu muko vizuri sana
Ivi unamfundishaje mutoto kujitegemea mkuu.? Yani mufano ni Kama kujipikia mwenyewe, au Nini ..na iyo inaanza akowa na umri gani mkuuNinamfahamu muhindi alimpeleka binti Malaysia, Baba akamchukulia apartment kakupa kila kitu, siku Ka 5 akakaa naye, akarudi Bongo.
Kutua airport, simu binti analia hatari, anaogopa hawezi! Baba akaingia gharama kumpeleka Kaka mtu, aende akakae wiki 2, azoee, Kaka alimiss chuo alikokuwa 2 weeks, ili amsaidie dada Ku settle!
Kweli hatulei watoto kujitegemea, wanakuwa tegemezi, kiasi wanaishia kuwa frustrated ulimbukeni wakipata Uhuru!
Yan anatia huruma wazaz wake wamefariki wote yupo tu kwenye mjengo wao masaki hana hili wala lile na wenyewe wapo wawili mwenzake kabaki huko canada. Mwaka jana mama yao alikua kwenye life supporting machine yule wa canada akarudi amekaa wiki akawa anawaambia baba zake wakubwa mama atolewe machine ili afe ye arudi zake canada sasa sijui ni bahati nzuri au mbaya kabla kikao hakijakaa kama atolewe ile machine akafa jioni yake
Vijijini wameimudu Sana hii. Tokea mtoto anavyokuwa akianza Tu kuelewa anatumwa islets chumvi, kaleta mwiko, taratibu akikua nenda mkachote maji, kaokoteni kuni, pikeni uji e.t.cIvi unamfundishaje mutoto kujitegemea mkuu.? Yani mufano ni Kama kujipikia mwenyewe, au Nini ..na iyo inaanza akowa na umri gani mkuu
Pamoja na ukweli kwamba si wote waendao huko wanakuwa chapombe lakini nadhani hiyo Vodka inapatikana kwa urahisi sana huko.Hzo zote Cha mtoto
Aisee usije kosea ukampeleka mtoto Russia
Kuna Dogo tulimpeleka aisee nadhani Alisoma Kama miezi sita baada ya Apo akaacha chuo Dogo Ni pombe mwanzo mwisho.
Anatumiwa hela yeye Ni mtungi tu
Amerudi kadata .
Nadhani pombe ya Putin itakua Ni hatari
Aseeehhh!Yan anatia huruma wazaz wake wamefariki wote yupo tu kwenye mjengo wao masaki hana hili wala lile na wenyewe wapo wawili mwenzake kabaki huko canada. Mwaka jana mama yao alikua kwenye life supporting machine yule wa canada akarudi amekaa wiki akawa anawaambia baba zake wakubwa mama atolewe machine ili afe ye arudi zake canada sasa sijui ni bahati nzuri au mbaya kabla kikao hakijakaa kama atolewe ile machine akafa jioni yake
We ulifundishwaje kujitegemea?Ivi unamfundishaje mutoto kujitegemea mkuu.? Yani mufano ni Kama kujipikia mwenyewe, au Nini ..na iyo inaanza akowa na umri gani mkuu
Nadhani kutoka nje level ya masters si mbaya sana ,ila undergraduate Kuna shidaJamani wana JF kuna malalamiko mengi ya wazazi na wadhamini wanaofadhili watoto kwenda vyuo nchi mbali mbali.
Sio wote wanaokwenda hizo nchi wakafanya vizuri ila wimbi kubwa linapotea sana kwa sababu kilicho wapeleka kusoma kukifata hakipo.
Hizi nchi kama mtoto hashikiki na mda wote anaweza kubadilika kabisa.
Nchi hizi ni USA,CANADA,CHINA NA MALYSIA.
asilimia kubwa watoto wanao kwenda nchi za china na usa ushindwa kusoma na kufanya mengine ambayo ni majuto.
Hili na zungumzia kwa sababu nimeshuhudia watoto wengi waliopelekwa china mwisho wa siku wameacha chuo,matokeo mabovu kwa sababu ya biashara zilizopo huko.
na USA asilimia kubwa watoto ubadilika na kuanza kufanya mambo ya ajabu hata kuacha chuo kuanza kufanya kazi.
Tunajadili na kutoa ushuuda