DOKEZO Kuna nchi zimewapa pesa wafanyabiashara wao wanunue vyakula Tanzania

DOKEZO Kuna nchi zimewapa pesa wafanyabiashara wao wanunue vyakula Tanzania

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

chotera

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2016
Posts
6,560
Reaction score
15,864
Kuna baadhi ya Nchi mwaka huu zimeendelea kufanya kama zinavyofanya miaka yote.

Usalama wa chakula muhimu sana, wafanyabiashara wa hizo nchi wamepewa mabilioni ya pesa na tayari wamemwagika mashambani Tanzania na kuanza kununua mazao kwa kasi ya ajabu sana .

Mpunga na mahindi mwaka huu hayatoshuka sana bei kwani tayari huko mashambani ni kununua kwa kugombana sana.

Wanaingia wao wenyewe kwa mkulima na kununua na kusafirisha, Waziri wa kilimo angekua na akili hata kidogo angejifunza mwaka jana hali ilikuaje na kwa mwaka huu itakua zaidi ya mwaka jana.

Hakuna usalama wa nchi kama hakuna usalama wa chakula lazima viongozi mjifunze kudhibiti hali hiyo, mapema.
 
Nashauri Nchi nyingine nyingi zije kununua Chakula kwa wingi Tanzania kwani Chakula kilichopo ni kingi mno na bei ipo chini karibunii🏳️‍🌈🏳️‍⚧🇧🇮🇦🇿🇧🇪🇧🇦🇧🇩🇧🇧🇦🇷🇦🇶🇦🇪🇦🇫🇦🇬🇦🇮🇦🇱🇦🇲🇦🇴🇧🇴🇧🇶🇧🇷🇧🇸🇧🇹🇨🇬🇨🇭🇨🇮🇨🇰🇨🇱🇨🇲🇨🇳🇨🇼🇨🇽🇨🇾🇩🇿🇩🇴🇩🇲🇩🇰🇩🇯🇩🇬🇩🇪🇨🇿🇪🇦🇪🇨🇪🇪🇪🇬🇪🇭🇪🇷🇪🇸🇪🇹🇬🇱🇬🇮🇬🇭🇬🇫🇬🇩🇬🇧🇪🇺🇫🇮🇫🇯🇫🇰🇫🇲🇫🇴🇪🇷🇪🇭🇪🇬🇪🇪🇪🇨🇪🇦🇲🇰🇲🇱🇲🇦🇲🇨🇲🇩🇱🇷🇱🇸🇱🇹🇲🇫🇲🇬🇲🇭🇲🇰🇲🇱🇲🇲🇲🇳🇲🇼🇲🇾🇲🇾🇲🇿🇳🇦🇳🇨🇳🇨🇳🇪🇳🇫🇶🇦🇵🇾🇵🇹🇵🇸🇵🇷🇵🇳🇵🇲
 
Nashauri Nchi nyingine nyingi zije kununua Chakula kwa wingi Tanzania kwani Chakula kilichopo ni kingi mno na bei ipo chini karibunii[emoji2380][emoji2524]‍⚧[emoji1060][emoji1039][emoji1045][emoji1051][emoji1042]🇧[emoji1051]🇷[emoji1031][emoji1256][emoji1023]🇦[emoji1107]🇮🇦[emoji1144][emoji1173]🇴[emoji1050][emoji1066][emoji1054]🇧[emoji1219][emoji1252]🇬[emoji1237][emoji1081][emoji1079]🇨[emoji1228][emoji1169][emoji1180]🇼[emoji1072][emoji1085][emoji1026][emoji1091]🇩[emoji1168]🇰[emoji1089]🇩[emoji1114][emoji1092]🇿🇪[emoji1256]🇨[emoji1097][emoji1093][emoji1266]🇪[emoji1204][emoji1236][emoji1244]🇱[emoji1111][emoji1110][emoji1104][emoji1114][emoji636][emoji1099][emoji1103][emoji1102][emoji1100]🇫[emoji1229]🇴[emoji1096][emoji1266]🇪[emoji1109][emoji1097]🇨[emoji1069][emoji1154][emoji1159][emoji1173][emoji1169][emoji1168][emoji1148]🇱[emoji1214][emoji1251][emoji1167]🇬[emoji1161][emoji1154][emoji1159][emoji1175][emoji1170][emoji1156][emoji1157][emoji1157][emoji1174][emoji1176][emoji1180][emoji1180][emoji1183][emoji1186][emoji1203][emoji1196][emoji1201][emoji1193][emoji1202][emoji1199][emoji1230]

Endelea kukaza shingo tu mchele mwaka huu utanunua 5000 kwa kilo moja
 
Nendeni mkalime... hayupo Fala wa kukulimia we ule Kwa bei unayotaka , nchi hii mapori kibao yamejaa mijusi tuu , watu wahangaika kuyaweka Sawa , alaf umpangie bei , kama nchi inauzwa na tumekaa kimya mkulima ndo mnataka kumrarua , acheni hizo
 
Umeyasikia ya Zambia lakini?
Tanzania sio Zambia,tukifingua mipaka Toka mwaka juzi mazao yakiwa hafifi sembuse mwaka huu ambao Yako mbwerere?

Zambia Wana shida zao nyingi sana,Nchi nyingi wakati zinazuia nafaka Tanzania haikuwahi kufanya huo ujinga..

Saa wewe jikalishe na likitambi.lako hapo utegemee Serikali itafungua mipaka ilimkuwakomoa wakulima wewe ununue bei unavyotaka..

Kwa taarifa Yako Hilo halipo
 
Back
Top Bottom