Aende hospitali.Ameshaweka hadi mafuta ya kuku lakini wapi
Aende hospitali ingine aonane na "specialist" wa ENT.Hospital kaenda ndo hivyo wanasema hamna kitu
Mminie mafuta ya nazi sikioni mpaka yajae. Kisha ayaache dakika tatu halafu ageuze sikio. Kama kuna mdudu yoyote atatoka.
sasa bhangi ataipata wapi jaman.... bibi yetu faiza foxyAende hospitali ingine aonane na "specialist" wa ENT.
Kabla ya kwenda mnyunyizie maji ya bangi matone mawili matatu. Kamua bangi mbichi.
Sasa hayo maji ya bangi,si ndo kumzidishia uwehu huyo kunguni?Aende hospitali ingine aonane na "specialist" wa ENT.
Kabla ya kwenda mnyunyizie maji ya bangi matone mawili matatu. Kamua bangi mbichi.