P pablo escobar7 Member Joined Jun 17, 2019 Posts 47 Reaction score 49 Jun 26, 2019 #1 Kuna uhusiano gan mwanaume akichepuka then akija kumshika mwanae mchanga inasemekana mtoto atachelewa kukua au wanaita kubemendwa..Je kuna uhusiano gan kati ya janaba na ukuaji wa mtoto?
Kuna uhusiano gan mwanaume akichepuka then akija kumshika mwanae mchanga inasemekana mtoto atachelewa kukua au wanaita kubemendwa..Je kuna uhusiano gan kati ya janaba na ukuaji wa mtoto?
sheremaya JF-Expert Member Joined Mar 22, 2015 Posts 3,334 Reaction score 7,651 Jun 26, 2019 #2 Ficha ujinga wako.. Umefikiria kuhusu mwanaume aliyeoa wanawake wawili ?
MLEVi Mmoja JF-Expert Member Joined Jun 29, 2019 Posts 8,514 Reaction score 15,050 Jun 29, 2019 #3 Uongo tu wanatudanganya tusichepuke maboya tu hayo hayajui michepuko ni muhimu Bia ni bora kuliko mke
Uongo tu wanatudanganya tusichepuke maboya tu hayo hayajui michepuko ni muhimu Bia ni bora kuliko mke