Mpap Ndabhit
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 331
- 416
wakati Waislamu wanadai nabii Ishmael ndiye aliyetolewa sadaka ya kuchinjwa na nabii Ibrahimu wakristo Kwa upande wao Isaka ndiye aliyetolewa kuchinjwa Kwa mujibu wa Biblia Takatifu.
Mvutano na utafauti wa Msahafu na Biblia juu ya nani alitolewa kuchinjwa una tija Gani Kwa waamini wa pande hizi za wakristo na Waislamu.
Mvutano na utafauti wa Msahafu na Biblia juu ya nani alitolewa kuchinjwa una tija Gani Kwa waamini wa pande hizi za wakristo na Waislamu.