Jamani baada ya kuuawa kwa balozi wa marekani libya, nini kinaendelea huko 'duniani' kwa sasa? Nasikia wamarekani wamedhibiti balozi zao vilivyo, kulikoni hapa dar es saalaam? Napo wameongeza usalama? Tupeane taarifa jukwaani
Jamani baada ya kuuawa kwa balozi wa marekani libya, nini kinaendelea huko 'duniani' kwa sasa? Nasikia wamarekani wamedhibiti balozi zao vilivyo, kulikoni hapa dar es saalaam? Napo wameongeza usalama? Tupeane taarifa jukwaani