ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Si hamjui, basi yaishie hapo, sasa we unauliza kwanini unahitaji nini, kwani wewe ni kala, kama kala mwenyewe anajua kama anajulikana ndio ana haki ya kupaza sauti, japo naona utakuwa ni uchizi kujibishana
Correct mkuuHuyo Dyna Nyange ndo huyu[emoji116]
Niliiona hata mimi muda mrefu sana, nadhani bado ipoYoutube kuna video ya kitambo sana ikiwaonyesha wawili hao wakiwa wamelala kitanda kimoja.......inawezekana waliacha kujuana kuanzia hapo.
Ahaaa basi sawaCorrect mkuu
Ila nowadays kawa mweupeeeee,nadhani anakunywa maji mengi sana
Haaaaaaaa,mie nina mikosi na wanawake hata nikiambiwa huyu ndie bahati yangu siwezi kubali bora nieendelee kuwa na mikosi yangu tuHuyo Dyna Nyange ndo huyu[emoji116]
Kama hupendi wanawake wembamba baso utakuwa unapenda hawa[emoji116]Haaaaaaaa,mie nina mikosi na wanawake hata nikiambiwa huyu ndie bahati yangu siwezi kubali bora nieendelee kuwa na mikosi yangu tu
Hawa Wasanii walio wengi ni wasindikazaji tu kwenye suala la kufunga....kikubwa nadhani wanafunga kuogopa kusemwa na Jamii.Hawa wanatafuta kiki,eti hamjui wanatafuta kiki waache kutuchezea akili zetu.Dayna Analeta mashauzi halafu anasema amefunga au anawasindikiza waliofunga.Hizi kiki wanazotafuta tumeshawashtukia mapeeeeema
hohoho mulemule kasoro rangiHuyo Dyna Nyange ndo huyu[emoji116]
Kama hupendi wanawake wembamba baso utakuwa unapenda hawa[emoji116]
Mtafute huyu mdau[emoji116] ndo anawajuaAisee hawa miss Rombo wanapatikanaje? Mdau, embu ni-PM tuongee biashara
Nenda kwenye biblia kaangalie maana ya kumjua, then utaelewa kwanini kasema hamjui. Soma kitabu cha Mwanzo pale adam alipomjua hawa ikawaje.Leo katika Kipindi cha Top 20 cha claouds FM sijui nini kilimfanya Mtangazi wa kipindi hicho kumuuliza Dyna Nyange kama anamfahau Kala Jeremiah! Lakini cha Kushangaza Dyna Nyange akasema Hamjui msanii huyo na hajawahi kumsikia!
Baada ya mtangazaji na wasikilizaji kumkomalia ndio alipo sema kwani kuto kumjua ni dhambi ukweli ni kuwa kala Jeremiah simjui!
Je kuna nini kati yao? Au ni kweli hamjui
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mtafute huyu mdau[emoji116] ndo anawajua
Kweli dunia ina MengiHuyo Dyna Nyange ndo huyu[emoji116]
Naona hii ina bakhresaKweli dunia ina Mengi