kuna nini kichwani mwa mke wangu


mkuu hii nitaifanyia mazoezi na kuitumia
nadhani kuna kitu na kosea ndio maana kula sana hivi nyimbo za sifa kwa dogo.
ulichosema kinafafana lakini inasikitisha sana maana dogo yeye bado mbichi
wakina mama/dada hapo watakuwa hawafanyi haki mbona mimi sifanyi hivyo
 
ukweli mputu
 
Mkuu hebu kua specific, ni sifa gani unazozungumzia hapo?
 
nafikiri mpaka hapa ushapata la kuchukua mawili matatu
 
pole sana kaka kwa kuwa na hisia hizo najua zitakuwa zinakusumbua sana ndani ya kichwa chako
 
nafikiri mpaka hapa ushapata la kuchukua mawili matatu

nimejaribu hiyo moja ya kumsifia zaidi ya yeye anapomsifia, naona haifanyia kabisa
nakuwa kama nimemmezesha tape
kila sifa ninapoimwaga yeye anaiongezea zaidi na kuweka na ushahidi ya hiyo sifa
nafikilia kumtuma dogo kwa maza kwa muda fulani nione inakuwa je.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…