Kuna nini kinaendelea kati ya Israel Mwenda na Shomari Kapombe?

Kuna nini kinaendelea kati ya Israel Mwenda na Shomari Kapombe?

Peramiho yetu

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2018
Posts
5,303
Reaction score
14,983
Kupitia kipind Cha sportarena Cha wasafi fm mtangazaj Yusuf mkule amesema kunaonekana kuwa na sintofahamu kati ya wawil hao toka unyamani lakn hajasema tatizo nini

Hata msemaji alipoulizwa alisema swala Hilo lipo ngaz za juu za uongoz

Mkuu GENTAMYCINE Mwishokambi Ghazwat hebu mtusaidie kuna nn hapo unyamani
 
Kupitia kipind Cha sportarena Cha wasafi fm mtangazaj Yusuf mkule amesema kunaonekana kuwa na sintofahamu kati ya wawil hao toka unyamani lakn hajasema tatizo nini
Aliyekuwa Mwamba wa Kuroga ni Kapombe ila Dogo Mwenda nae akampata Mtaalam HATARI kupitia Mchezaji Mmoja Mstaafu (ndani ya Simba SC) ambaye alimpiga Pini ya maana Kapombe hadi akawa anaumwa tu na kuhatarisha Namba yake Kikosini.

Hivyo baada ya Kapombe kuona Dogo Mwenda kapiga Penyewe na Pini ya maana na amejaribu Kuipangua ameshindwa akaona atumie Ushawishi wake mkubwa kwa Viongozi Waandamizi wa Simba SC (Kwa kumpiga Majungu Mwenda ) ili achukiwe na aachwe Kikosini aendelee Kutawala Yeye na kwamba hata huyo Mchezaji mwingine atakayeletwa asiwe Tishio Kwake au awe anammudu Kiulozi / Kiushirikina.

Kila la Kheri Mkuu.
 
Aliyekuwa Mwamba wa Kuroga ni Kapombe ila Dogo Mwenda nae akampata Mtaalam HATARI kupitia Mchezaji Mmoja Mstaafu ( ndani ya Simba SC ) ambaye alimpiga Pini ya maana Kapombe hadi akawa anaumwa tu na kuhatarisha Namba yake Kikosini...
Mkuu leo nimeamini unajua habari nyingi za hivi vilabu vya kariakoo!!
 
Aliyekuwa Mwamba wa Kuroga ni Kapombe ila Dogo Mwenda nae akampata Mtaalam HATARI kupitia Mchezaji Mmoja Mstaafu ( ndani ya Simba SC ) ambaye alimpiga Pini ya maana Kapombe hadi akawa anaumwa tu na kuhatarisha Namba yake Kikosini...
Shukrani Sana mkuu hiv huu uchawi hauwez kuwasaidia kwenda baran uropa kupata timu nzuri?

Huyo kaalcohol s alishaenda had France na akarudi bongo
 
Shukrani Sana mkuu hiv huu uchawi hauwez kuwasaidia kwenda baran uropa kupata timu nzuri?

Huyo kaalcohol s alishaenda had France na akarudi bongo
Ndumba haivuki Bahari ila wakitaka Ndumba ziwabebe wakienda huko Mamtoni ( Ulaya ) Wawaige akina Drogba na Eto ambao iliwalazimu wawachukue Waganga wao wa Kienyeji kutoka Ivory Coast na Cameroon na kuwapangia Vyumba huko huko ambao waliwasaidia mno na Kuchuma Pesa nyingi ambazo zimewasaidia kuwa Matajiri walivyo sasa na Kuwekeza katika Miradi mbalimbali ya Biashara Ulimwenguni.
 
Mkuu leo nimeamini unajua habari nyingi za hivi vilabu vya kariakoo!!
Kwa Habari / Taarifa yoyote kuhusu Soka ( Fabo ) la Tanzania hasa izihusuyo Klabu Kubwa Mbili za Simba na Yanga kuanzia kwa Wachezaji, Viongozi, Makocha, yaliyoko na yanayotarajiwa nifuatilie / nisome mno GENTAMYCINE hapa JamiiForums kwani hakuna la Kunipita huko kwakuwa kwa 99.999% ni Watu huko ( Sources ) ambao hakuna wanalonificha japo mpaka leo kutokana na Kuniamini Kwao na ninavyojiweka hawajui kuwa waliyenae ndiyo GENTAMYCINE wa JamiiForums.

Na moja ya Sifa yangu Tukuka nikiwa sehemu ninayotaka Taarifa fulani ni Kujifanya kama vile Lofa au Mpuuzi fulani na hata Mjinga hivi na hii Kitu imenisaidia sana na si kupata Habari Ngumu za Michezoni bali hata kule kwa Bi Mkubwa na Wasaidizi wake wa hii Mama Tanzania yetu.
 
Acheni majungu.
Timu yoyote lazima iwe na wachezaji wawili au zaidi katika namba moja.
Shabalala ana Gadieli ili mmoja akiumia mwingine acheze.

Mnataka Mwenda aondoke akiumia Kapombe nani atacheza ?

Kwanza Mwenda wakati wake ndio unakaribia kwakuwa Kapombe umri unaanza kumtupa.

MWENDA usisikilize maneno ya washabiki Uchwala. Simba inakutegemea sana. Na ulitufungia goli muhimu kule Angola. Goli la Pili swafi kabisa.
 
Back
Top Bottom