Kuna nini kinaendelea Tanganyika Packers Kawe, Kituoni na kwa Wafanyabiashara wa pembezoni?

Kuna nini kinaendelea Tanganyika Packers Kawe, Kituoni na kwa Wafanyabiashara wa pembezoni?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nilichokishuhudia ni Mageti ya Kuingilia Kufungwa, Wafanyabiashara ( akina Mama Kutukanana ) na Walinzi, Kuhamishwa kutoka walikokuwa na kupelekwa mbali ambako pia kuna Watu wanaendelea na Shughuli zao.

Eneo la Ndani la Uwanja wa Tanganyika Packers Kukwanguliwa na Greda, Ujenzi wa Awali ukianza.

Upande mwingine kuna Mahema yanawekwa na kule upande wa Jengo lililoko Kanisa la Mtume Mwamposa na kwenyewe hakueleweki yaani ni Vurugu Vurugu tupu tu.

Mamlaka tafadhali nijibuni nijue.
 
Mwamposa anakula tu hela za mikondoo anashindwa hata kujenga kanisa miaka yote
 
Nilichokishuhudia ni Mageti ya Kuingilia Kufungwa, Wafanyabiashara ( akina Mama Kutukanana ) na Walinzi, Kuhamishwa kutoka walikokuwa na kupelekwa mbali ambako pia kuna Watu wanaendelea na Shughuli zao.

Eneo la Ndani la Uwanja wa Tanganyika Packers Kukwanguliwa na Greda, Ujenzi wa Awali ukianza.

Upande mwingine kuna Mahema yanawekwa na kule upande wa Jengo lililoko Kanisa la Mtume Mwamposa na kwenyewe hakueleweki yaani ni Vurugu Vurugu tupu tu.

Mamlaka tafadhali nijibuni nijue.
Samia House Project
 
Back
Top Bottom