Kuna nini kuhusiana na herufi A na lugha ya kiswahili?

Stroke

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
37,630
Reaction score
47,434
Lugha ya kiswahili imetawaliwa.na herufi A tazama.

Uganda. Tanzania. Kenya.Botswana.

Kaka. Dada. Mama. Baba.

Chakula. Maisha....

Yaani karibia kila.kitu kimeishia na herufi a.
 
Because A is the first letter

Kila kitu kinaanza na A kama kupanga majina.yataanza ya A uwezi kuanzia B au C

Ukienda hospital,Emergency team hutumia formula ya ABCD... Kuaccess mgonjwa mfano A-Airways,B-Breathing,......

Ukienda kwa inginia au field mbalimbali wanatumia A

Simple A ndio mlango wa kutokea...
 
Lugha ya kiswahili imetawaliwa.na herufi A tazama.

Uganda. Tanzania. Kenya.Botswana.

Kaka. Dada. Mama. Baba.

Chakula. Maisha....

Yaani karibia kila.kitu kimeishia na herufi a.
Kuku, uji, mchele, porini, mwizi, Togo, lindi, simiyu, morogoro, egypt, Morocco, congo nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…