Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,395
Unadhani kidume kikiongea Kuna mwanamke anaongea Tena[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mwamba ambae sera zake Trump kazihusuduWadau, mbona siku hizi nchi za jirani sizisikii zikitaja idadi ya madereva waliopimwa na kukutwa na virusi vya corona?
Tulizoea kusikia madereva 85 wamepimwa, waliokutwa positive ni 80,77 ni Watanzania, 1 Rwanda,1 Mganda,1 mcongo. Sasa hivi nina week sijasikia Rwanda wala Uganda wakitangaza, Zambia nao kimyaaa. Kuna nini?
Au ndo ule mkwara mkali uliopigwa na serikali ya Tanzania? Yaani kenya kafanywa kama mfano,wengine wakafyata mkia[emoji1787][emoji23]
Cc UFIPAWadau, mbona siku hizi nchi za jirani sizisikii zikitaja idadi ya madereva waliopimwa na kukutwa na virusi vya corona?
Tulizoea kusikia madereva 85 wamepimwa, waliokutwa positive ni 80,77 ni Watanzania, 1 Rwanda,1 Mganda,1 mcongo. Sasa hivi nina week sijasikia Rwanda wala Uganda wakitangaza, Zambia nao kimyaaa. Kuna nini?
Au ndo ule mkwara mkali uliopigwa na serikali ya Tanzania? Yaani kenya kafanywa kama mfano,wengine wakafyata mkia🤣😂
Wangeendelea kutoa hizo taarifa zao za uongo wangekufa njaa.Wadau, mbona siku hizi nchi za jirani sizisikii zikitaja idadi ya madereva waliopimwa na kukutwa na virusi vya corona?
Tulizoea kusikia madereva 85 wamepimwa, waliokutwa positive ni 80,77 ni Watanzania, 1 Rwanda,1 Mganda,1 mcongo. Sasa hivi nina week sijasikia Rwanda wala Uganda wakitangaza, Zambia nao kimyaaa. Kuna nini?
Au ndo ule mkwara mkali uliopigwa na serikali ya Tanzania? Yaani kenya kafanywa kama mfano,wengine wakafyata mkia[emoji1787][emoji23]
Usidharau majirani bhana.
Masikini waoHakuna anae wadharau tatizo wanajifanya wajuaji na wakati wana shida kibao
Wamemkashifu JPM sanaMasikini wao
Tanzania kichwa ngumu,walikosea sana,wangedeal na yao kimya kimya,mkuu wa mkoa wa Tanga.Wamemkashifu JPM sana
Ndugu unaanzaje kufungia ndugu yako mpakaSisi sote ni ndugu
tusimdhaki mtu
Kila kitu saiv kinaenda mrama wanategemea nn sasa😢😢😢Kuna vikenya vilikua vikibweka humu kwamba hatupangiwi, sijui vimepotelea wapi sivisikii tena