Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivip wawe na buku 5 peke yakeNdio walionayo
Maswali yako ni ya kipuuzii.. matozi wa wap kwanza unaowazungumzia??Kivip wawe na buku 5 peke yake
Masharti ya mgangaNi kipi kinawafanya matozi wengi kutembea na buku 500 tu mifukoni mwao ?
Ni kipi kinawafanya matozi wengi kutembea na buku 500 tu mifukoni mwao ?
Hawa tunaowakamata kwenye operations zetuMaswali yako ni ya kipuuzii.. matozi wa wap kwanza unaowazungumzia??
Matozi na waganga wapi na wapi bwana.Masharti ya mganga
Ulichokiandika hapa mbona sioni mantiki?au labda Kuna codes umetumia...Ni kipi kinawafanya matozi wengi kutembea na buku 500 tu mifukoni mwao ?
Huelewi 1500 au huwaelewi matoziUlichokiandika hapa mbona sioni mantiki?au labda Kuna codes umetumia...
Ila kiuhalisia sijakuelewa una maana gani
fafanua ueleweke mkuu.!! operations gan?? Mnawakamata wew na nani?? matozi wa wap? Tozi kwako wew ni mtu wa aina?? Acha mambo ya kiwaki explainHawa tunaowakamata kwenye operations zetu
Huelewi 1500 au huwaelewi matoziUlichokiandika hapa mbona sioni mantiki?au labda Kuna codes umetumia...
Ila kiuhalisia sijakuelewa una maana gani
so you mean you need more explanationfafanua ueleweke mkuu.!! operations gan?? Mnawakamata wew na nani?? matozi wa wap? Tozi kwako wew ni mtu wa aina?? Acha mambo ya kiwaki explain
Mikeka tuNi kipi kinawafanya matozi wengi kutembea na buku 500 tu mifukoni mwao ?
Buku 500 kwa maneno = buku mia tano.Ni kipi kinawafanya matozi wengi kutembea na buku 500 tu mifukoni mwao ?
Ndio uwezo wenuNdiyo uwezo wao...