Kuna nini kwa matozi na buku 500?

Ulichokiandika hapa mbona sioni mantiki?au labda Kuna codes umetumia...
Ila kiuhalisia sijakuelewa una maana gani
Huelewi 1500 au huwaelewi matozi
fafanua ueleweke mkuu.!! operations gan?? Mnawakamata wew na nani?? matozi wa wap? Tozi kwako wew ni mtu wa aina?? Acha mambo ya kiwaki explain
so you mean you need more explanation
 
Ni kipi kinawafanya matozi wengi kutembea na buku 500 tu mifukoni mwao ?
Buku 500 kwa maneno = buku mia tano.

Buku mia tano kwa kirefu ni laki tano. Kwa tarakimu ni Tsh 500,000

Kijana hebu tupe maana ya ulichomaanisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…