kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Haya matokeo ya simba kumfunga Tabora nyuma mwiko wanagugumia na kupata magonjwa ya tumbo kuna nini zaidi.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani kama mizengo pinda na mizinga yake kawazoea!Utopolo walisahau Simba ni maafisa nyuki
Duuh!MIpira ya Tanzania ni vichekesho tu. Yani timu A kwakuwa ilifungwa na timu B basi inataka timu C ikicheza na B basi ifungwe?
Wewe ni kolo eeh?MIpira ya Tanzania ni vichekesho tu. Yani timu A kwakuwa ilifungwa na timu B basi inataka timu C ikicheza na B basi ifungwe?
Kolo uyo we umjui? Zikipigwa timu nyingine uwa anakuja hapa haraka haraka kuanzisha nyuzi kwamba matokeo yamepangwa lakini ya Simba kupanga matokeo uwa anavaa miwani ya mbao!Wewe ni kolo eeh?
Mpira wa mipango unaonekana na matokeo halisi unaonekanaKolo uyo we umjui? Zikipigwa timu nyingine uwa anakuja hapa haraka haraka kuanzisha nyuzi kwamba matokeo yamepangwa lakini ya Simba kupanga matokeo uwa anavaa miwani ya mbao!
Nilishakuambi mimi huwa nafurahia hizi drama zenu tu ila sina team.Wewe ni kolo eeh?
Sijawahi kuanzisha uzi wa aina yoyote kuhusu hizi team zenu za simba na yanga.Kolo uyo we umjui? Zikipigwa timu nyingine uwa anakuja hapa haraka haraka kuanzisha nyuzi kwamba matokeo yamepangwa lakini ya Simba kupanga matokeo uwa anavaa miwani ya mbao!
Wanataka kila timu ikiifunya Yanga basi iifunge na simbaHaya matokeo ya simba kumfunga Tabora nyuma mwiko wanagugumia na kupata magonjwa ya tumbo kuna nini zaidi.....