Kuna nini nyuma mwiko wameumia mioyo sana na matokeo kuliko Tabora wenyewe?

Kuna nini nyuma mwiko wameumia mioyo sana na matokeo kuliko Tabora wenyewe?

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Haya matokeo ya simba kumfunga Tabora nyuma mwiko wanagugumia na kupata magonjwa ya tumbo kuna nini zaidi.....

Screenshot_20250203_091203_Chrome.jpg
Screenshot_20250203_091214_Chrome.jpg
Screenshot_20250203_091108_Chrome.jpg
Screenshot_20250203_091242_Chrome.jpg
Screenshot_20250203_091149_Chrome.jpg
Screenshot_20250203_091342_Chrome.jpg
 
Wewe ni kolo eeh?
Kolo uyo we umjui? Zikipigwa timu nyingine uwa anakuja hapa haraka haraka kuanzisha nyuzi kwamba matokeo yamepangwa lakini ya Simba kupanga matokeo uwa anavaa miwani ya mbao!
 
Kolo uyo we umjui? Zikipigwa timu nyingine uwa anakuja hapa haraka haraka kuanzisha nyuzi kwamba matokeo yamepangwa lakini ya Simba kupanga matokeo uwa anavaa miwani ya mbao!
Mpira wa mipango unaonekana na matokeo halisi unaonekana
 

Attachments

  • 20241229_070802.jpg
    20241229_070802.jpg
    100 KB · Views: 3
  • 20241225_065945.jpg
    20241225_065945.jpg
    116.7 KB · Views: 2
  • Kicheko
Reactions: Tui
Kolo uyo we umjui? Zikipigwa timu nyingine uwa anakuja hapa haraka haraka kuanzisha nyuzi kwamba matokeo yamepangwa lakini ya Simba kupanga matokeo uwa anavaa miwani ya mbao!
Sijawahi kuanzisha uzi wa aina yoyote kuhusu hizi team zenu za simba na yanga.

ephen_
 
Back
Top Bottom