Charles Ignatio
Senior Member
- Oct 9, 2010
- 133
- 52
<br />Kinachonishangaza ni kwamba, kwa nini mjipangie deadline kama hamtoweza kuifuata mwishoni? Kwanza walisema 6th June, 13th June, 1st week of July na sasa 4th August. Deadline zote zimewapita ... Na sasa 2nd round ya applications zimeanza kwa wale ambao hawakuchaguliwa (au ambao hawaku apply kabisa mara ya kwanza), swali langu ni hivi ... tutajuaje kwamba hatujachaguliwa ili tu apply tena kama hamtotoa matokeo?!<br />
<br />
They are the most unreasonable/incompetent people around!
<br />Mi mbona sioni program zangu au ndo wameshanitosa?
<br /><br /><br />
<br /><br />
huzion kivp?
wanasema Names of the selected applicants for 2011\2012 academic year will be published sometimes in july 2011
<br />Yaani issue hapa sio TCU pekee,Watanzagiza(wtz) tumerogwa haya masuala ya kila mtu anafanya anavyoweza na ndio maana tcu watawazingua na kisha vyuo vitafunguliwa na wale ambao watakuwa wamebahatika kupata vyuo wataenda vyuoni watasoma orientation week watamaliza harafu loan board watawambia kwamba hata form zao hazikuwahi kufika! soo likiingia barabarani watapigwa risasi za moto, je bora lipi ukae home au uende kozi za kimafia?
<br />Sorry,selection results are not yet bulished