Kuna njama za kuwachafua zaidi Karamagi, Msabaha

Sokomoko

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2008
Posts
1,915
Reaction score
129
Kuna njama za kuwachafua zaidi Karamagi, Msabaha
Peter Nyanje


Source: Tanzania Daima
 
Kuna njama za kuwachafua zaidi Karamagi, Msabaha
Source: Tanzania Daima

Sijamuelewa mwandishi kuwa kama haiamini TAKUKURU inawezaje kuwachafua Karamagi na Msabaha? Na je mwandishi ana uhakika gani kuwa watu hawa wasafi? Ni kipimo gani alichonacho mwandishi ambacho kinapelekea kusema kuwa tayari hawa jamaa wamechafuliwa na wakiendelea kuchafuliwa zaidi ya hapo basi ni kuzidi kuchafuliwa? Na je standard ipi ya mla rushwa ambayo inapelekea kuwa asiwe mchafu,mchafu kiasi au zaidi? Na je anataka Hosea ampe sh. ngapi ili naye uchafu wake usiwe zaidi ya alivyo?

Waberoya
 
kuna kuchanganyana hapa ni kama swala la relativity, vitu viwil vikiwa vinaenda kwenye spidi inayofanana na vinaenda sambamba basi kama uko kwennye chombo kimojawapo utaona kile chA PILI KAMA HAKIENDA NA KUWA VYOTE VIWILI VITAKUWA KAMA VIMESIMAMA, KARAMAGI, MSABAHA, NA LOWASA IN ONE HAND, NA TAKUKURU CHINI YA HOSEA IN ANOTHER HAND WOTE NI WACHAFU.

TUNAHITAJI CHOMBO KAMA MAHAKAMA NA MAGEREZA KUWASAFISHA
 
Wangepekewa mahakamani wakasafishwe sio wanawasafisha kwa maandamano na mapokezi...........huo ni kuwaibiaa fikra wapiga kura....
 

Wenye akili na wenye kukumbuka mambo ni kuwa kwenye hotuba ya mhe mizengo hakugusia kitu chochote kuhusu Lowasa! zaidi ya kuwataja wawili hawa kuwa ndio wanaochunguzwa na ikiamanisha Lowasa yeye hahusiki tena! Jamani kumbukeni wakati mkataba unasainiwa (RICHMOND) huyu jamaa alikuwa PM na yeye ndie aliekuika baraza la mawaziri na kutoa amri ya mkataba huu kusainiwa sasa iweje rungu liwaangukie kina Msabaha peke yao? huu si uwajibikaji! kuna ukweli pia umedhihiri kuwa Lowasa alipokuwa PM alimshinikiza Amos Makala kusaini mkataba wa ujenzi wa jengo la UVCCM kwa vyovyote vile Makala asingemkatalia PM na wakati ule hakuna aliejua kama Lowasa angeanguka kwenye nafasi ile! Kumwacha Lowasa na kuwachunguza kina Msabaha ni uonevu ulipitiliza!

Hii nchi ni yetu sote lazima wakubwa na wadogo wawajibike sio wakubwa waache wadogo wafanywe mbuzi wa kafara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…