Kuna njia za kutambua kama nimepigwa limbwata?

Kuna njia za kutambua kama nimepigwa limbwata?

Mzungu wa Meli

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2018
Posts
215
Reaction score
277
Heshima kwenu wapendwa.... naomba kuuliza... kuna njia za kutambua kama nimepigwa limbwata na mwanamke?

1367734_12936490_1708432879435918_7841359252112461983_n.jpg
 
Acha wasiwasi mkuu, kama unampenda mpende tu bora hufanyi vitu vya kizembe.

Usiogope limbwata ukaanza kumkazia mtoto wa watu maisha bure
 
Dalili za limbwata

Kuwahi kurudi nyumbani

Kumwambia mke wako kiasi cha mshahara unacho pokea

Kuongozana na mke wako kama kundi la Westlife mda wote mpo pamoja

Kushona sare

Kupiga umbea na mke wako

Mke kukufokea na kukaa kimya usimpige hata kofi

Ukitaka utafune mchepuko unaogopa au dushe kuzima kabisa

Kutopenda ndugu zako waje kwako

Kupenda ndugu pamoja na ukweni kuliko kwako ulikozaliwa

Kusaidia ndugu wa mke kuliko wako

Kumwambia siri zote mke wako

Na mengineyo wengine watakujuza
 
Kumwachia gari mkeo atembelee na wewe unapanda daladala.

Kusahau kutongoza.

Kutongoza na kuchomolewa mara kadhaa, hata ukitongoza beki 3 anagoma.

Kuangalizia mpira nyumbani badala ya bar.
 
Dalili za limbwata

Kuwahi kurudi nyumbani

Kumwambia mke wako kiasi cha mshahara unacho pokea

Kuongozana na mke wako kama kundi la Westlife mda wote mpo pamoja

Kushona sare

Kupiga umbea na mke wako

Mke kukufokea na kukaa kimya usimpige hata kofi

Ukitaka utafune mchepuko unaogopa au dushe kuzima kabisa

Kutopenda ndugu zako waje kwako

Kupenda ndugu pamoja na ukweni kuliko kwako ulikozaliwa

Kusaidia ndugu wa mke kuliko wako

Kumwambia siri zote mke wako

Na mengineyo wengine watakujuza
🤣🤣🤣🤣
 
Dalili za limbwata

Kuwahi kurudi nyumbani

Kumwambia mke wako kiasi cha mshahara unacho pokea

Kuongozana na mke wako kama kundi la Westlife mda wote mpo pamoja

Kushona sare

Kupiga umbea na mke wako

Mke kukufokea na kukaa kimya usimpige hata kofi

Ukitaka utafune mchepuko unaogopa au dushe kuzima kabisa

Kutopenda ndugu zako waje kwako

Kupenda ndugu pamoja na ukweni kuliko kwako ulikozaliwa

Kusaidia ndugu wa mke kuliko wako

Kumwambia siri zote mke wako

Na mengineyo wengine watakujuza
😁😁😁
 
Dalili za limbwata

Kuwahi kurudi nyumbani

Kumwambia mke wako kiasi cha mshahara unacho pokea

Kuongozana na mke wako kama kundi la Westlife mda wote mpo pamoja

Kushona sare

Kupiga umbea na mke wako

Mke kukufokea na kukaa kimya usimpige hata kofi

Ukitaka utafune mchepuko unaogopa au dushe kuzima kabisa

Kutopenda ndugu zako waje kwako

Kupenda ndugu pamoja na ukweni kuliko kwako ulikozaliwa

Kusaidia ndugu wa mke kuliko wako

Kumwambia siri zote mke wako

Na mengineyo wengine watakujuza
[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Msichanganye limbwata na mapenz ya dhati.
Enewei, me nmepigwa limbwata na nimekubaliana nalo.

Kujua n mpaka uende kwa wataalamu na n ngumu kupata hlo wazo coz limbwata inafunga hadi ufahamu wa mtu husika.
 
Dalili za limbwata

Kuwahi kurudi nyumbani

Kumwambia mke wako kiasi cha mshahara unacho pokea

Kuongozana na mke wako kama kundi la Westlife mda wote mpo pamoja

Kushona sare

Kupiga umbea na mke wako

Mke kukufokea na kukaa kimya usimpige hata kofi

Ukitaka utafune mchepuko unaogopa au dushe kuzima kabisa

Kutopenda ndugu zako waje kwako

Kupenda ndugu pamoja na ukweni kuliko kwako ulikozaliwa

Kusaidia ndugu wa mke kuliko wako

Kumwambia siri zote mke wako

Na mengineyo wengine watakujuza
Haahaha mkuu umemaliza kwa kiwango cha lami.
 
Dalili za limbwata

Kuwahi kurudi nyumbani

Kumwambia mke wako kiasi cha mshahara unacho pokea

Kuongozana na mke wako kama kundi la Westlife mda wote mpo pamoja

Kushona sare

Kupiga umbea na mke wako

Mke kukufokea na kukaa kimya usimpige hata kofi

Ukitaka utafune mchepuko unaogopa au dushe kuzima kabisa

Kutopenda ndugu zako waje kwako

Kupenda ndugu pamoja na ukweni kuliko kwako ulikozaliwa

Kusaidia ndugu wa mke kuliko wako

Kumwambia siri zote mke wako

Na mengineyo wengine watakujuza
Acha kutuharibia wewe
Sie mahaba tu mnadai limbwata
 
Back
Top Bottom