Kuna njia za kutambua kama nimepigwa limbwata?

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kumkumkuta mkeo na viashiria vyote vya kukusaliti lakini ukitaka kumfokea nafsi inasita au uoga unakuingia, hapo ujue kwisha habari yako.
 
Daah [emoji23][emoji23][emoji23] comments za hii thread unaweza kuzimia au kupaliwa chakula/maji kwa kicheko...

Watu sijui mnawazaga nini tu. [emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…