Kuna perfume inaitwa Red rose huwa inanikumbusha mbali sana miaka ya 2002/3

Kuna perfume inaitwa Red rose huwa inanikumbusha mbali sana miaka ya 2002/3

Victor Mlaki

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2016
Posts
4,151
Reaction score
4,277
Hii perfume ina harufu moja matata sana ikikukolea mwilini ni kama mvuta sigara, yaani hadi jasho lako linatoa harufu ya redrose

Naikumbuka sana kwa sababu kuna Dada mmoja nilikuwa nampenda sana katika makuzi yangu na yeye alikuwa anapenda sana redrose yaani mpaka leo nikisikia hiyo harufu na huyo Dada anakuja akilini paap.
 
".....Hua nakumbuka mbali hasa nikisikia harufu yako ya marashii...., nalia na mengi"
 
Back
Top Bottom