Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Wadau naomba nielewe maana ya hii kitu Rais amesema kuna phase two na three... au ni part two na three?
Rais anasema alikuwa muigizaji wanapiga takes kadhaa akikosea anarudia.
awataja maafisa usalama kama changamoto asema walikuwa wanamzuia kufanya baadhi ya scenes.
Rais ameyasema hayo JNICC akizindua royal tuor
Rais anasema alikuwa muigizaji wanapiga takes kadhaa akikosea anarudia.
awataja maafisa usalama kama changamoto asema walikuwa wanamzuia kufanya baadhi ya scenes.
Rais ameyasema hayo JNICC akizindua royal tuor