Kuna PhD na degree zingine ndiyo chanzo cha umasikini nchi! Hazileta faida yoyote kwa Taifa! Tutafakari

Kuna PhD na degree zingine ndiyo chanzo cha umasikini nchi! Hazileta faida yoyote kwa Taifa! Tutafakari

Makonde plateu

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,443
Reaction score
3,480
Kuna watu wengine wanajiita wasomi tena wa kiwango cha degrees na phD wanajitamba mtaani na huko vyuoni kwa usomi wao uchwara halafu usomi wao au kozi zao hazina faida yoyote ile zaidi ya kutujazia machawa huku mtaani yaani napatwa na hasira kweli.

Yaani mtu anasoma degree au
PhD inayohusiana na ualimu,sheria, socialogy, engineering, accountancy, public administration, political science na zingine nyingi ambazo hazina faida yoyote ile

Serikali ilitazame hili nchi inajitopea kwenye umasikini kwa kuruhusu kozi ambazo hazina faida yoyote kozi zote za Afya, computing science,IT,kozi zote za kilimo,kozi zote za uhandisi, bank and finance, na kadhalika ndiyo kozi ambazo nchi kama nchi ndizo tunapaswa kuwekeza.

Kama phD ya theology ina faida gani?
 
Kuna watu wengine wanajiita wasomi tena wa kiwango cha degrees na phD wanajitamba mtaani na huko vyuoni kwa usomi wao uchwara halafu usomi wao au kozi zao hazina faida yoyote ile zaidi ya kutujazia machawa huku mtaani yaani napatwa na hasira kweli.

Yaani mtu anasoma degree au
PhD inayohusiana na ualimu,sheria, socialogy, engineering, accountancy, public administration, political science na zingine nyingi ambazo hazina faida yoyote ile

Serikali ilitazame hili nchi inajitopea kwenye umasikini kwa kuruhusu kozi ambazo hazina faida yoyote kozi zote za Afya, computing science,IT,kozi zote za kilimo,kozi zote za uhandisi, bank and finance, na kadhalika ndiyo kozi ambazo nchi kama nchi ndizo tunapaswa kuwekeza.

Kama phD ya theology ina faida gani?

Uelewa mdogo.

Hizô kozi ulizotaja watafundishwa na Nani kama siô waalimu?

Watasomea chini ya muembe siô. Nani atajenga miundombinu kama siô hao mainjinia.

Nani atawezesha mahusiano ya Watu maofisini kama siô waliosoma public administration na Human resource management.

Mahesabu na mapato Nani watafunga kama siô Wahasibu, Watu wa banking na finance.

Viongozi wa nchi na wanasiasa wataongozaje na kutunga Sheria na sera kama hawajasoma Public administration, political science and LLB.

Kama hujui faîda ya degree ya theology itakuwa hata uelewi mambo ya kijamii
 
Uelewa mdogo.

Hizô kozi ulizotaja watafundishwa na Nani kama siô waalimu?

Watasomea chini ya muembe siô. Nani atajenga miundombinu kama siô hao mainjinia.

Nani atawezesha mahusiano ya Watu maofisini kama siô waliosoma public administration na Human resource management.

Mahesabu na mapato Nani watafunga kama siô Wahasibu, Watu wa banking na finance.

Viongozi wa nchi na wanasiasa wataongozaje na kutunga Sheria na sera kama hawajasoma Public administration, political science and LLB.

Kama hujui faîda ya degree ya theology itakuwa hata uelewi mambo ya kijamii
Ina faida gani
 
Kuna watu wengine wanajiita wasomi tena wa kiwango cha degrees na phD wanajitamba mtaani na huko vyuoni kwa usomi wao uchwara halafu usomi wao au kozi zao hazina faida yoyote ile zaidi ya kutujazia machawa huku mtaani yaani napatwa na hasira kweli.

Yaani mtu anasoma degree au
PhD inayohusiana na ualimu,sheria, socialogy, engineering, accountancy, public administration, political science na zingine nyingi ambazo hazina faida yoyote ile

Serikali ilitazame hili nchi inajitopea kwenye umasikini kwa kuruhusu kozi ambazo hazina faida yoyote kozi zote za Afya, computing science,IT,kozi zote za kilimo,kozi zote za uhandisi, bank and finance, na kadhalika ndiyo kozi ambazo nchi kama nchi ndizo tunapaswa kuwekeza.

Kama phD ya theology ina faida gani?
Jiulize kwanza wewe mwenyewe hapo ulipo una faida gani kwa nchi! Elimu yako ina athari zipi chanya kwa nchi, nk. kabla ya kuzishambulia hizo degree na PhD za watu. Inawezekana una hoja. Ila ni vizuri pia ukatumia nafasi hii kutushawishi, badala ya kukosoa tu.
 
Miongoni mwa mambo Wizara/ nchi inapokosea ni kuamini ili kuwa mkuu wa idara/kitengo ni lazima uwe na masters/ PhD. Ni ujinga mtupu.
 
Back
Top Bottom