Kuna pisi-kali na vipisi-vikali

Kuna pisi-kali na vipisi-vikali

MIXOLOGIST

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2016
Posts
14,311
Reaction score
36,056
Wasalaam wana JF

Katika pita pita zangu huko kwenye mabaraza ya watu waovu ninaleta ushuhuda kwenu kwamba kuna PISI KALI na vipisi vikali.

Kuna wale wadada ambao wamekamilika kila idara yaani kabla ya muovu shetani kuja, wao ndiyo waliokua mpango wa Mungu, yaani muonekano alioukusudia Mungu.

Unakutana na mwanamke ana shape namba 8, hana tumbo, mweupe mwenye rangi ya mtume au mweusi mwenye rangi asili angavu, macho kama anakuita, ana nywele imesimama kama misumari, anaongea kama anataka kukojoa alafu ananukia vizuri kama maua ya jasmini. Mwisho kabisa hapigi mizinga wala hana shobo za kimatonya. Hawa ndiyo pisi kali.

Wengine ni wale ambao wanatumia muda mwingi kwenye vioo, kujipiga puti, wana sura za kuunga-unga shape za ku-boost na vigodoro, wana nywele kama ma-zombies, wana harufu kali kama maiti, wanapaka perfumes cheap kama dawa za mbu, hawa ni full kuomba omba, wana shobo za kimatonya, wana ji-forge na vizungu vya ugoko, full kujifanya wao wanakunywa Savannah, JD au Hennessy. Hawa ndiyo wanaitwa vipisi-vikali.

Wengine waliobakia ni sungura tope.

Tutafika kwa Mungu tukiwa tumechoka sana!
 
Tatizo mwenyezi Mungu hakupi vyote,
Mwonekano wa nje sio sawa na mwonekano wa ndani.

Ni adimu Sana upate mwanamke ambae ni pisi Kali kotekote, yaani nje na ndani.

Yaani awe mrembo kwa nje(sura na umbo)
Na awe mrembo kwa ndani(kidudu Chenye mwonekano wa kuvutia ukimtazama uchi)
 
Tatizo mwenyezi Mungu hakupi vyote,
Mwonekano wa nje sio sawa na mwonekano wa ndani.

Ni adimu Sana upate mwanamke ambae ni pisi Kali kotekote, yaani nje na ndani.

Yaani awe mrembo kwa nje(sura na umbo)
Na awe mrembo kwa ndani(kidudu Chenye mwonekano wa kuvutia ukimtazama uchi)
Mkuu tupo tunaokula mema ya nchi, yale Mungu aliyoyakusudia
 
Wasalaam wana JF

Katika pita pita zangu huko kwenye mabaraza ya watu waovu ninaleta ushuhuda kwenu kwamba kuna PISI KALI na vipisi vikali.
Lakini wote ni wanawake hapo lazima ukae siti ya mwisho ukichungulia mbele kwa shida na kwa sabb we mfupi sana.... Tafuta pesa pisi kali ambao hawana kasoro wanamwagiwa mipesa ya kutosha hapo ndo wanatanukia mil, watavaa laki 9, watafanya shape ya mil 300..... Ww rfk angu unamuhonga dem wako buku mbili unazani ataweza kua pisi kali muda wote jua linamtandika..... Pesa sabuni ya roho.... Hata usipooga utakua pisi tu
 
Thamani ya mtu haipimwi na takataka ulizoandika hapo, Mungu ndio anajua thamani ya mtu.

Haijalishi una macho, umbo, rangi, pesa na hata uwe na vitu vyote thamani ya mtu mmoja unayemuita mbaya ni kubwa sana na usijidanganye ni bora kuliko yeye

Sema hajiujui tu

Samahani kwa maneno makali lakini thamani ya mtu haipimwi kizembe hivyo mkuu
 
Lakin wote ni wanawake hapo lazima ukae siti ya mwisho ukichungulia mbele kwa shida na kwa sabb we mfupi sana.... Tafuta pesa pisi kali ambao hawana kasoro wanamwagiwa mipesa ya kutosha hapo ndo wanatanukia mil, watavaa laki 9, watafanya shape ya mil 300..... Ww rfk angu unamuhonga dem wako buku mbili unazani ataweza kua pisi kali muda wote jua linamtandika..... Pesa sabuni ya roho.... Hata usipooga utakua pisi tu
Nimetoa description tu ya akina dada huko kwenye mikusanyiko ya mabaraza ya watu waovu
 
Thamani ya mtu haipimwi na takataka ulizoandika hapo ,Mungu ndio anajua thamani ya mtu.

Haijalishi una macho, umbo ,rangi ,pesa na hata uwe na vitu vyote thamani ya mtu mmoja unayemuita mbaya ni kubwa sana na usijidanganye ni bora kuliko yeye

Sema hajiujui tu

Samahani kwa maneno makali lakini thamani ya mtu haipimwi kizembe hivyo mkuu
Ubaya ni ubaya tu, sasa Mungu anahusikaje? Dingi alitakiwa alenge demu mkali azae nae, mengine ni yetu sisi wanadamu
 
Kwahy mwanamke akiwa na black color hawez kuwa pis Kali .kwang sifa ya kwanza ya pisi Kali awe na black au Chocolat color.tofauti na apo weka x
Nimeboresha, ata hao weusi wenye rangi asili angavu ni pisi-kali
 
Kila mwanamke ana uzuri wake depending na mtu anayevutiwa nae akimuona, anaweza akawa hana sifa hizo zote lakin still Babe wake akamuona n pisi kali kwake kwa vigezo vyake, and hakuna mwanamke/mwanaume ambae amekamilika kote kote.

Unaweza kuta dada mzur ana shape, rangi, umbo lakini mdomo unanuka balaa, au n mchafu balaaa. Tunawaona na tunaishi nao mitaani. Au ukakuta wa kawaida sana lakini ana mambo ambayo huwez kudhania yenye kufurahisha, that's why wanaume weng unaweza kuta kwenye maclub anazunguka na pisi kali lakini akaja kuoa kipisi kikali [emoji23].
 
Back
Top Bottom