holy spirit
JF-Expert Member
- Nov 30, 2020
- 856
- 1,376
Vipisi vikali wengi wao ni vin'gan'ganizi sana yani umechoka mahusiano ila lenyewe linakukomalia, hawanaga soko.Wasalaam wana JF
Katika pita pita zangu huko kwenye mabaraza ya watu waovu ninaleta ushuhuda kwenu kwamba kuna PISI KALI na vipisi vikali.
Kuna wale wadada ambao wamekamilika kila idara yaani kabla ya muovu shetani kuja, wao ndiyo waliokua mpango wa Mungu, yaani muonekano
Unachagua mwanamke kama unachagua nyanya ndugu yanguWasalaam wana JF
Katika pita pita zangu huko kwenye mabaraza ya watu waovu ninaleta ushuhuda kwenu kwamba kuna PISI KALI na vipisi vikali.
Kuna wale wadada ambao wamekamilika kila idara yaani kabla ya muovu shetani kuja, wao ndiyo waliokua mpango wa Mungu, yaani muonekano alioukusudia Mungu.
Unakutana na mwanamke ana shape namba 8, hana tumbo, mweupe mwenye rangi ya mtume au mweusi mwenye rangi asili angavu, macho kama anakuita, ana nywele imesimama kama misumari, anaongea kama anataka kukojoa alafu ananukia vizuri kama maua ya jasmini. Mwisho kabisa hapigi mizinga wala hana shobo za kimatonya. Hawa ndiyo pisi kali.
Wengine ni wale ambao wanatumia muda mwingi kwenye vioo, kujipiga puti, wana sura za kuunga-unga shape za ku-boost na vigodoro, wana nywele kama ma-zombies, wana harufu kali kama maiti, wanapaka perfumes cheap kama dawa za mbu, hawa ni full kuomba omba, wana shobo za kimatonya, wana ji-forge na vizungu vya ugoko, full kujifanya wao wanakunywa Savannah, JD au Hennessy. Hawa ndiyo wanaitwa vipisi-vikali.
Wengine waliobakia ni sungura tope.
Tutafika kwa Mungu tukiwa tumechoka sana!
Wewe ni pisi kali, siyo vipisi wala kapisi...Sio kipisi? Haha
Umemaliza kaka yaani top uniangushagi kabisa kwa comment zako[emoji1787][emoji106]Tatizo mwenyezi Mungu hakupi vyote,
Mwonekano wa nje sio sawa na mwonekano wa ndani.
Ni adimu Sana upate mwanamke ambae ni pisi Kali kotekote, yaani nje na ndani.
Yaani awe mrembo kwa nje(sura na umbo)
Na awe mrembo kwa ndani(kidudu Chenye mwonekano wa kuvutia ukimtazama uchi)
Yes. Kwa mfano mimi napenda kashotii, kawe keusi kabongebonge kama simtank halafu kawe kamejazia uwani basi hapo huniambii kitu. Hiyo ndio pisi kali kwangu. Hao namba nane kaeni nao wenyewe.Kila mwanamke ana uzuri wake depending na mtu anayevutiwa nae akimuona, anaweza akawa hana sifa hizo zote lakin still Babe wake akamuona n pisi kali kwake kwa vigezo vyake, and hakuna mwanamke/mwanaume ambae amekamilika kote kote.
Unaweza kuta dada mzur ana shape, rangi, umbo lakini mdomo unanuka balaa, au n mchafu balaaa. Tunawaona na tunaishi nao mitaani. Au ukakuta wa kawaida sana lakini ana mambo ambayo huwez kudhania yenye kufurahisha, that's why wanaume weng unaweza kuta kwenye maclub anazunguka na pisi kali lakini akaja kuoa kipisi kikali [emoji23].
Umeshnda mamaLakin wote ni wanawake hapo lazima ukae siti ya mwisho ukichungulia mbele kwa shida na kwa sabb we mfupi sana.... Tafuta pesa pisi kali ambao hawana kasoro wanamwagiwa mipesa ya kutosha hapo ndo wanatanukia mil, watavaa laki 9, watafanya shape ya mil 300..... Ww rfk angu unamuhonga dem wako buku mbili unazani ataweza kua pisi kali muda wote jua linamtandika..... Pesa sabuni ya roho.... Hata usipooga utakua pisi tu
[emoji4][emoji4][emoji4]Umeshnda mama
Wasalaam wana JF
Katika pita pita zangu huko kwenye mabaraza ya watu waovu ninaleta ushuhuda kwenu kwamba kuna PISI KALI na vipisi vikali.
Kuna wale wadada ambao wamekamilika kila idara yaani kabla ya muovu shetani kuja, wao ndiyo waliokua mpango wa Mungu, yaani muonekano alioukusudia Mungu.
Unakutana na mwanamke ana shape namba 8, hana tumbo, mweupe mwenye rangi ya mtume au mweusi mwenye rangi asili angavu, macho kama anakuita, ana nywele imesimama kama misumari, anaongea kama anataka kukojoa alafu ananukia vizuri kama maua ya jasmini. Mwisho kabisa hapigi mizinga wala hana shobo za kimatonya. Hawa ndiyo pisi kali.
Wengine ni wale ambao wanatumia muda mwingi kwenye vioo, kujipiga puti, wana sura za kuunga-unga shape za ku-boost na vigodoro, wana nywele kama ma-zombies, wana harufu kali kama maiti, wanapaka perfumes cheap kama dawa za mbu, hawa ni full kuomba omba, wana shobo za kimatonya, wana ji-forge na vizungu vya ugoko, full kujifanya wao wanakunywa Savannah, JD au Hennessy. Hawa ndiyo wanaitwa vipisi-vikali.
Wengine waliobakia ni sungura tope.
Tutafika kwa Mungu tukiwa tumechoka sana!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nasikia kuna vipwanta hivi ni vinene halafu vina vitambi
Sungra ndo wapi haoMkuu alafu sungura tope ni watamu kinyama , vina joto na kaharufu kaasili , na ute wa kutosha sema mkuu upe kwa siri wasije kuaribu cv [emoji38]