Kuna project nahitaji kuanzisha ambayo itahusisha sana sana watu wa vijijini

Kuna project nahitaji kuanzisha ambayo itahusisha sana sana watu wa vijijini

Madindula

Member
Joined
Oct 24, 2019
Posts
38
Reaction score
27
Jamani Mambo vp. Kuna project nahitaji kuanzisha ambayo itahusisha sana sana watu wa vijijini. Hii project ni lengo ya kutoa elimu kwa watu wa vijijini especially kwa wanafunzi wa shule za vijijini. Sasa kwa sababu ndo kwanza naanza na sielewi wapi pa kuanzia nilikuwa nahitaji elimu ya kuanzisha mradi wowote wa kielimu hapa nchini. Je kuna hatua zozote za kufata au kibali chochote kinahitajika? Nauliza hivi nahitaji kuelewa kabla ya kuanza kufanyia kazi hii project. AHSANTENI
 
Jamani Mambo vp. Kuna project nahitaji kuanzisha ambayo itahusisha sana sana watu wa vijijini. Hii project ni lengo ya kutoa elimu kwa watu wa vijijini especially kwa wanafunzi wa shule za vijijini. Sasa kwa sababu ndo kwanza naanza na sielewi wapi pa kuanzia nilikuwa nahitaji elimu ya kuanzisha mradi wowote wa kielimu hapa nchini. Je kuna hatua zozote za kufata au kibali chochote kinahitajika? Nauliza hivi nahitaji kuelewa kabla ya kuanza kufanyia kazi hii project. AHSANTENI

Wazo zuri sana mkuu, ukifikia stage ya kutafuta wafanyakazi mimi nipo mkuu
 
Labda uende halmashauri yoyote utapata muongozo
 
Jamani Mambo vp. Kuna project nahitaji kuanzisha ambayo itahusisha sana sana watu wa vijijini. Hii project ni lengo ya kutoa elimu kwa watu wa vijijini especially kwa wanafunzi wa shule za vijijini. Sasa kwa sababu ndo kwanza naanza na sielewi wapi pa kuanzia nilikuwa nahitaji elimu ya kuanzisha mradi wowote wa kielimu hapa nchini. Je kuna hatua zozote za kufata au kibali chochote kinahitajika? Nauliza hivi nahitaji kuelewa kabla ya kuanza kufanyia kazi hii project. AHSANTENI

Fafanua vyema unahitaji kusaidiwa nini haswa...

1) Kuhamisha mawazo yako ya mradi (idea/concept) yaliyopo kichwani kwenda kwenye maandishi. (Project Proposal) ?

2) Namna ya kuanza utekelezaji wa mradi (project implementation & management) ?

-Kaveli-
 
Back
Top Bottom