Eng. Smasher
JF-Expert Member
- Nov 13, 2010
- 745
- 23
habari za mikesha bandugu zangu!!!
i hope wote 2me enjoy xmas, mimi nilitengwa kidogo na nimpendaye siku hizi 2 then niliamua kutoka na kwenda sehemu 1 ya starehe!!
wakati nipo pale nikawa najiuliza,wanafurahia nini?? Birthday ya emma, pombe, kwenda kupata tendo la ndoa au ni nini!!!
lakini mimi naona nili enjoy zaid coz baada ya kula sana nilienda toilet!!! Duh raha niliyoipata huko nili enjoy sana, naomba maoni yenu kuna raha zaidi ya hii??!!
Lakini mimi naona nili enjoy zaid coz baada ya kula sana nilienda TOILET!!!
sio muhimu kuandika kila kila kitu hapa, some things are just nonsense pls, sasa unataka upewe maoni gani seriously? raha yako wewe sio raha ya mwenzio u know.
:flock:stupid
utakuwa ulikuwa constipated before....:teeth::teeth::teeth:
Huendi toilet shetan??!!
Pole kwa kuhalisha
Kamwene Dr. mapema yawezeka kipindu pindu
JAmani mi si nilishasema huyo si engneer ye akasema ni eng, sasa ba ngosha na wanawane kweli
eng can write such stupid and nonsense........... like this ,
tunaomba uombe msamaha ma GREATHINKER WOTE HAPA JAMVINI ,kwani umetukosea heshima mno wa kike na kiume
... SHE TAA NIIII .....
:flock:
Habari za mikesha Bandugu zangu!!!
I hope wote 2me enjoy Xmas, Mimi nilitengwa kidogo na nimpendaye siku hizi 2 then niliamua kutoka na kwenda sehemu 1 ya starehe!!
Wakati nipo pale nikawa najiuliza,wanafurahia nini?? Birthday ya Emma, Pombe, Kwenda kupata tendo la ndoa au ni nini!!!
Lakini mimi naona nili enjoy zaid coz baada ya kula sana nilienda TOILET!!! Duh raha niliyoipata huko nili enjoy sana, Naomba maoni yenu kuna raha zaidi ya hii??!!
Teh teh teh!! Hiyo sio raha!!
Raha niliyoipata nadhani unaijua coz kila m2 anaxp nayo!!!
problem mnapenda sana mambo ya kudu,lakini ukichange mada kama hizi kelele kibao!!!
problem mnapenda sana mambo ya kudu,lakini ukichange mada kama hizi kelele kibao!!!
nishafahamu kwanini ulinijibu hivi huenda ikawa fikra zako zilikupelekea kwengine my dear ila hilo neno shetani sikukusudia kuwa wewe ulietuma thread ni shetani,,,, ila nilimjibu shetani one alivyokwambia wewe stupid,,,thats all kama nilikukera i'm sorry,,???