Kuna sehemu ukikutana na mtu fanya kama hujamuona

Kuna sehemu ukikutana na mtu fanya kama hujamuona

Aldonae

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2015
Posts
598
Reaction score
394
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Salamu kibaaaaooo kama huna namba yangu vileeeeee.
Mara oooh,kumbe na wewe unakujaga mitaa yetu.
Achen hizo bhanaaaa.
 
Hizo itakua sehem za dada zetu poa zile kimboka n.k[emoji3][emoji3][emoji3]
 
ukipita sehemu karibu na me napokula lazima nkimbilie jikoni
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kumbe swahiba ni wewe,nilikusalimia wakati unaingia nyumba za wenyeji
 
🙄kwa nanvo penda salam cjui...??
Ujambo,Habari gani?
nzuri,nzuri sana ndi wa Taifa mkuu
 
Sisi sote ni Wajamaa.

Wajamaa hatutupani Mkono.

Ujamaa udumu...udumu kweli kweli.
 
Back
Top Bottom