CARIFONIA
JF-Expert Member
- Aug 17, 2013
- 616
- 1,453
Sipo hapa kulalamika na wala sio kawaida yangu kuandika uzi wa kulalamika, binafsi matokeo ya leo hayawezi nifanya kukata tamaa kwani naijua football vizuri, bado timu ina nafasi ya kufanya vizuri katika mashindano yote inayoshiriki.
Wala sitaki kupeleka lawama zangu kwa kocha huyu mpya kwani bado ni mapema sana kumuhukumu, ila lawama zote wanastaili viongozi maamuzi ya kumtimua GAMOND yalikua ya kukurupuka sana, binafsi naona kabisa hii game ilikua nyepesi sana kwa master GAMOND.
Soma Pia: FT: Young Africans SC 0 - 2 Al Hilal | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 26.11.2024 |
Poleni sana wananchi wenzangu hiyo ndio football.
Wala sitaki kupeleka lawama zangu kwa kocha huyu mpya kwani bado ni mapema sana kumuhukumu, ila lawama zote wanastaili viongozi maamuzi ya kumtimua GAMOND yalikua ya kukurupuka sana, binafsi naona kabisa hii game ilikua nyepesi sana kwa master GAMOND.
Soma Pia: FT: Young Africans SC 0 - 2 Al Hilal | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 26.11.2024 |
Poleni sana wananchi wenzangu hiyo ndio football.