Kuna sheria inayohitaji kuweka picha ya Rais kwenye ofisi za serikali au binafsi?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Kwenye ofisi za serikali karibia zote, biashara na ofisi nyingi binafsi huwa kuna picha ya Rais imetundikwa ukutani, hii huwa ni kwa mujibu wa sheria au maamuzi binafsi tu ya wenye ofisi?
 
Yes, lazima iwepo picha ya J.K. Nyerere na the current president
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…