Wadau salamu!
Naomba mwenye kujua anisaidie. Nina kampuni mbili zenye shughuli tofauti, nimeamua niziweke ktk ofisi moja ili kuepuka gharama za pango lkn pia ziwe chini ya meneja mmoja. Naomba kama kuna kosa ki sheria mniambie kabla sijafanya hivyo. Natanguliza shukrani.
Naomba mwenye kujua anisaidie. Nina kampuni mbili zenye shughuli tofauti, nimeamua niziweke ktk ofisi moja ili kuepuka gharama za pango lkn pia ziwe chini ya meneja mmoja. Naomba kama kuna kosa ki sheria mniambie kabla sijafanya hivyo. Natanguliza shukrani.