ChamaDola JF-Expert Member Joined Dec 23, 2016 Posts 3,431 Reaction score 2,804 Mar 10, 2017 #1 Wakuu, Hivi kuna sheria/utaratibu au mfumo wa Mahakama zetu kutoa nakala za hukumu mbalimbali kwa wananchi iwapo wataonyesha kuziitaji? Kama ndiyo,kuna ada yeyote inayolipwa kwa karani ili kuzipata? Asanteni!
Wakuu, Hivi kuna sheria/utaratibu au mfumo wa Mahakama zetu kutoa nakala za hukumu mbalimbali kwa wananchi iwapo wataonyesha kuziitaji? Kama ndiyo,kuna ada yeyote inayolipwa kwa karani ili kuzipata? Asanteni!