Kuna Sheria Inayosimamia Upatikanaji wa Nakala za Hukumu kwa Wananchi Wote?

ChamaDola

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2016
Posts
3,431
Reaction score
2,804
Wakuu,
Hivi kuna sheria/utaratibu au mfumo wa Mahakama zetu kutoa nakala za hukumu mbalimbali kwa wananchi iwapo wataonyesha kuziitaji?
Kama ndiyo,kuna ada yeyote inayolipwa kwa karani ili kuzipata?
Asanteni!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…