Luqman mohamedy
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 899
- 1,231
Samahanini wadau,
Kwa nitaowakwaza ila hili jambo la kufungua makanisa popote tu bila kujali location mfano jirani na ninapokaa wamefungua kanisa uani na wanaimba toka saa nane mchana na ibada mpaka sa 6 za usiku.
Majirani hatulali wala hatusikilizani. Nadhani sio jambo geni kila sehemu, kwenye magodown na viwanda vya zamani wanafungua.
Kwenye madarasa ya shule baada ya wanafunzi kutoka wanafungua nadhani imekua usumbufu jamani, uhuru wa kuabudu umeruka kikomo.
Kama kuna sheria kuhusu hilo jambo naomba nisaidiwe nimuhamishe huyu jirani.
Kwa nitaowakwaza ila hili jambo la kufungua makanisa popote tu bila kujali location mfano jirani na ninapokaa wamefungua kanisa uani na wanaimba toka saa nane mchana na ibada mpaka sa 6 za usiku.
Majirani hatulali wala hatusikilizani. Nadhani sio jambo geni kila sehemu, kwenye magodown na viwanda vya zamani wanafungua.
Kwenye madarasa ya shule baada ya wanafunzi kutoka wanafungua nadhani imekua usumbufu jamani, uhuru wa kuabudu umeruka kikomo.
Kama kuna sheria kuhusu hilo jambo naomba nisaidiwe nimuhamishe huyu jirani.