Kuna sheria kua ukibadili paa la bati lazima utoe taarifa?

Mapolomoko hicho ndicho nilichokielewa pia. I second you.



Mapolomoko kanielewa vizur sana yaani watu wamenyeshewa na zile mvua zilizonyesha mfululizo mpaka wakapata nimonia wakajikusanya waweze kupata walau vibati he mara barua eti kwann mmeweka bati pasi na kibali?......mwenye nacho anaongezewa na mwenye kile kidogo ananyang"anywa

Hii Tanzania hii......
 
Last edited by a moderator:
Kiukweli kama no tabata jijini kabisa kabla ya marekebisho walipaswa kuwa na Kigali kiukweli wana kesi ya kujibu
 

No thank you! kama unajenga new structure lazima upate kibali na sio repair ya old structure! May be the work repair should be defined
 
Ingekua Nyumba Ya Kupanga Kweli Lazima Wamwambie Mwenye Nyumba Marekebisho Yeyote, ,lakini Kwa Swala Hilo Sidhani Kama Wanakesi Yakujibu, ,
Japo Kua Kila Ujenzi Unatakiwa Uendane Na Kiwango Cha Mahali Husika, ,
But Wawasikilize Hao Watu Wanawaambia Wanakesi Kwa Kifungu Gani Hasa Cha Sheria Ili Na Wao Wajue Wajitetee Kwa Kifungu Gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…