Bowie
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 4,373
- 6,084
Leo kwenye Magereza yetu kuna akina Kitilya, Manji, Malinzi na mahabusu wengine wengi ambao kila wakifikishwa mahakamani wanaambiwa upelelezi unaendelea.
Kwanini mtu ama watu wakamatwe na kunyimwa dhamana wakati ushahidi haujakamilika.
Na kwanini wanyimwe dhamana. Serikali ya awamu ya 5 iangalie kwa makini suala kumyima mtu haki zake za msingi na kumweka mtu mahabusu kwa muda mrefu wakati mwisho anaambiwa hana kesi ya kujibu.
Rais Magufuli majuzi aliwaambia Takukuru wahakikishe wanawashughulikia watuhumiwa ambao kuna ushahidi kamili.
Kwanini mtu ama watu wakamatwe na kunyimwa dhamana wakati ushahidi haujakamilika.
Na kwanini wanyimwe dhamana. Serikali ya awamu ya 5 iangalie kwa makini suala kumyima mtu haki zake za msingi na kumweka mtu mahabusu kwa muda mrefu wakati mwisho anaambiwa hana kesi ya kujibu.
Rais Magufuli majuzi aliwaambia Takukuru wahakikishe wanawashughulikia watuhumiwa ambao kuna ushahidi kamili.