Kuna sheria tofauti katika kuhukumu kesi ya uchochezi

Ndugu mahakamani unaletwa unasomewa mashitaka yako etc hakuna kusema mim oohh sijui mbona yule mumemuachia na blah blah blah kibao cha msingi ni polisi wanaandaa charge sheet kama haina legal basis basi mtu anaachiwa yani haina vigezo kisheria kumfanya mtu awe hatiani or whatever sasa...haya mambo ya kuleta itikadi za vyama en etc watz inabidi tuache...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…