Kuna sheria ya nchi hii inayotambua nguvu "Mungu"?

Kuna sheria ya nchi hii inayotambua nguvu "Mungu"?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Mimi sio mwanasheria ila sidhani kama unaweza kumfungulia mtu kesi kwa kosa la kusema Mungu anaweza kuchukua maisha ya mtu fulani.

Kwa mfano,nikisema hadharani, "Mungu chukua maisha ya mtu fulani", utatumia sheria ipi kunishitaki?

Halikadhalika,sidhani kama unaweza kwenda Mahakamani ukafungua kesi eti fulani amemloga mwanangu,n.k.

Wanasheria,katika nchi hii tuna sheria zinazomtaja na kumtambua Mungu pamoja na mamlaka yake?

Wanasheria mtusaidie.
 
Kumbe we jamaa ni mweupe hivi? Sasa ndio umeandika nini?
 
Jibu ni kwamba hakuna sheria hiyo duniani kote..sasa swali linarudi kwako,je umewaza nini,au imekuwaje umeuliza swali kama hilo?
 
Jibu ni kwamba hakuna sheria hiyo duniani kote..sasa swali linarudi kwako,je umewaza nini,au imekuwaje umeuliza swali kama hilo?
Atakuwa alitaka kuomba hadharani sala ya kumuomba Mungu atuondelee mtu fulani kwa kumuita kwake.

Hakuna kosa lolote aombe hiyo sala ila Mungu huita watu kwake kwa muda ule aliowapangia tangu ile siku mtu amezaliwa. Haombwi na binaadamu yoyote.

Pasco
 
Atakuwa alitaka kuomba hadharani sala ya kumuomba Mungu atuondelee mtu fulani kwa kumuita kwake.

Hakuna kosa lolote aombe hiyo sala ila Mungu huita watu kwake kwa muda ule aliowapangia tangu ile siku mtu amezaliwa. Haombwi na binaadamu yoyote.

Pasco
Hizo ni ndoto za alinacha
 
Mimi sio mwanasheria ila sidhani kama unaweza kumfungulia mtu kesi kwa kosa la kusema Mungu anaweza kuchukua maisha ya mtu fulani.

Kwa mfano,nikisema hadharani, "Mungu chukua maisha ya mtu fulani", utatumia sheria ipi kunishitaki?

Halikadhalika,sidhani kama unaweza kwenda Mahakamani ukafungua kesi eti fulani amemloga mwanangu,n.k.

Wanasheria,katika nchi hii tuna sheria zinazomtaja na kumtambua Mungu pamoja na mamlaka yake?

Wanasheria mtusaidie.
Kama ni mimi naweza kukufungulia kesi ya kuudhalilisha uhai wangu na kunitia uchungu wa nafsi kwa kunisema habari ya mimi kufa.
 
Kama ni mimi naweza kukufungulia kesi ya kuudhalilisha uhai wangu na kunitia uchungu wa nafsi kwa kunisema habari ya mimi kufa.
Lowassa alieitwa Marehemu ndio alipaswa kufungua kesi sio huyo mwinginem
 
Jibu ni kwamba hakuna sheria hiyo duniani kote..sasa swali linarudi kwako,je umewaza nini,au imekuwaje umeuliza swali kama hilo?
hakuna dunian kote mkuu? miez michache iliopita kuna mdau huko saudi arabia alihukumiwa kifungo cha miaka kumi jela na viboko vya kutosha kwa kusema kuwa haamini kama kuna Mungu
 
Tanzania is a secular country kwaiyo haitambui mambo ya kishirikina au nguvu za mungu mahakamani kwa sababu unahitaji ushahidi
 
Atakuwa alitaka kuomba hadharani sala ya kumuomba Mungu atuondelee mtu fulani kwa kumuita kwake.

Hakuna kosa lolote aombe hiyo sala ila Mungu huita watu kwake kwa muda ule aliowapangia tangu ile siku mtu amezaliwa. Haombwi na binaadamu yoyote.

Pasco

Hivi wewe ndiye Pasco Mayalla?
 
Back
Top Bottom