Ukiwa unasubiria ushauri wa kisheria hebu nunua manati kwanza! Wakitokeza tu unawaponda vichwa! Ukilenga wawili watatu mwenyewe atawafungia tuu! jirani yangu shamba alikuwa na mchezo huo nikaweka fencing wire bado akawa anachokonoa wire ili kuku wake wapite kwa chini..siku moja nilikwenda shamba na mbwa nikawaachia wakafaniwa kuuwa watano mbele ya wanae....hajarudia tena!