Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,390
Wakuu. nipo huku mkoa wa BUKOBA hakika nimesikitika kupata taarifa kutoka kwa wajasiriamali wa hapa juu ya benki hiyo tawi la Bukoba kusitisha utoaji mikopo na kufunga matawi yake yote ndani ya mji. tawi la Zamzam limefungwa na yale yote yaliyoko pemmbezoni mwa mji.
Wajasiriamali wanasema kuwa wanelezwa na maofisa wa benki kuwa kuna tatizo la ndani ya benki kwenye idara ya mikopo.
Wakati hayo yakijiri tuko katika maandalizi ya kongamano la kilimo chini ya benki hiyo CRDB na UDSM ambapo waziri wa kilimo Bashe na waziri mstaafu Pinda watashiriki.
CRDB wawe na majibu juu ya hili maana litaulizwa na wadau.
Nitarudi jijini na senene maana zimejaa tele hapa kwenye mji usio na stendi.
HAPA CHINI ni kutoka maktaba ya JF
CRDB kuna shida gani? Mnachelewesha sana kutoa mikopo
Tatizo la Ucheleweshwaji wa Mikopo Benki ya CRDB
www.jamiiforums.com
Wajasiriamali wanasema kuwa wanelezwa na maofisa wa benki kuwa kuna tatizo la ndani ya benki kwenye idara ya mikopo.
Wakati hayo yakijiri tuko katika maandalizi ya kongamano la kilimo chini ya benki hiyo CRDB na UDSM ambapo waziri wa kilimo Bashe na waziri mstaafu Pinda watashiriki.
CRDB wawe na majibu juu ya hili maana litaulizwa na wadau.
Nitarudi jijini na senene maana zimejaa tele hapa kwenye mji usio na stendi.
HAPA CHINI ni kutoka maktaba ya JF
CRDB kuna shida gani? Mnachelewesha sana kutoa mikopo
Tatizo la Ucheleweshwaji wa Mikopo Benki ya CRDB
Kuna Tatizo gani benki ya CRDB?
Wiki kadhaa zilizopita nilienda CRDB kuomba Mkopo binafsi. CRDB wakasema lazima mshahara wangu upite kwao. Nikahamisha mshahara kutoka NMB kwenda CRDB ndipo nikajaza form za mkopo na kuzirudisha CRDB Bank. Nilivyorudisha tu fomu loan officer akaniambia sasa hivi mfumo unasumbua kidogo huenda...