Kuna shida gani CRDB salary advance

stephot

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2012
Posts
17,216
Reaction score
26,225
Nimeingia kwenye simbanking app nikiangalia kwenye menu sioni icon ya salary advance,imetolewa au kuna marekebisho wamefanya...?
 
Je uko up to date kwenye marejesho? Wafanyakazi wenzio wako up to date kwenye marejesho? Hakuna watu wamekimbiza mishahara kwenda kwingine? Mshahara wenu unafika kwa wakati?
Check kwanza hizo kitu maana service huwa inasitishwa kama kuna vitu kama hivyo hapo juu
 
mbona mapema sana mzee, mwezi hata haujapinduka unataka advance!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…