KERO Kuna shida ya Mtandao kwa sisi watumiaji wa Halotel, Kiteto Mkoani Manyara

KERO Kuna shida ya Mtandao kwa sisi watumiaji wa Halotel, Kiteto Mkoani Manyara

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Mtandao unakuwa mzito ukiwa Kiteto na kuna muda haupatikani kabisa ni kero kubwa kwa sisi tunaoitumia, pia Haloteli iweke huduma ya kurejesha miamala kama Mitandao mingine (Yas, Airtel na Vodacom) ili kuboresha huduma pale mteja anapokosea namba au jina ili Wakala azuie muamala.

images (3).jpeg
 
Back
Top Bottom