Kuna shida ya mtandao wa LUKU?

Kuna shida ya mtandao wa LUKU?

BUSH BIN LADEN

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2019
Posts
8,447
Reaction score
19,425
TANESCO mbona hamtoi taarifa kwa wateja tukajua. Najaribu kuweka umeme toka saa 12 jioni hadi muda huu unagoma.

Toeni basi taarifa kama kuna shida tujue na kama ipo mseme mnashughulikia hadi lini itakuwa imeisha.
 
Walitoa taarifa, ..mfumo wa mita umebadilishwa , yawezekana taarifa hukuipata juu ya namna ya kuingiza token kwa mara ya kwanza kuanzia tarehe moja Juni, labda piga namba yao huduma kwa wateja watakupa maelekezo .
 
Walitoa taarifa, ..mfumo wa mita umebadilishwa , yawezekana taarifa hukuipata juu ya namna ya kuingiza token kwa mara ya kwanza kuanzia tarehe moja Juni, labda piga namba yao huduma kwa wateja watakupa maelekezo .
Shukrani mkuu sikupata hiyo taarifa. Naomba namba yao kama unayo
 
Walitoa taarifa, ..mfumo wa mita umebadilishwa , yawezekana taarifa hukuipata juu ya namna ya kuingiza token kwa mara ya kwanza kuanzia tarehe moja Juni, labda piga namba yao huduma kwa wateja watakupa maelekezo .
Ndugu kwani walitoa taarifa kuhusu mtandao au kuhusu mabadiliko ya token toka 20 kwenda 60?
Je, unajua hilo tangazo lilihusu mikoa gani na mleta mada yuko mkoa gani?

fanya utafiti then urudi umjibu vema zaidi
 
Walitoa taarifa, ..mfumo wa mita umebadilishwa , yawezekana taarifa hukuipata juu ya namna ya kuingiza token kwa mara ya kwanza kuanzia tarehe moja Juni, labda piga namba yao huduma kwa wateja watakupa maelekezo .
I think hii kubadili mfumo ni kwa kanda ya ziwa na kanda ya magharibi. Sidhani kama ni tanzania nzma.
 
Walitoa taarifa, ..mfumo wa mita umebadilishwa , yawezekana taarifa hukuipata juu ya namna ya kuingiza token kwa mara ya kwanza kuanzia tarehe moja Juni, labda piga namba yao huduma kwa wateja watakupa maelekezo .
Nimefuatilia kweli wamebadìli mfumo na wameanza na kanda ya ziwa ila cha ajabu ni kwamba nimenunua umeme ila wamenipa token ya kundi moja la tarakimu 20 tu. Nimejaribu kuwacheki whats app nimechatishwa na chatbot mwisho wa siku haijanisaidia. Ngoja niwapigie nisikie
 
Nimefuatilia kweli wamebadìli mfumo na wameanza na kanda ya ziwa ila cha ajabu ni kwamba nimenunua umeme ila wamenipa token ya kundi moja la tarakimu 20 tu. Nimejaribu kuwacheki whats app nimechatishwa na chatbot mwisho wa siku haijanisaidia. Ngoja niwapigie nisikie
Piga simu japo utapigiwa wimbo wa harmonize kwa muda mrefu ila wanapokea. Mimi nilifunga umeme nyumba mpya nikanunua umeme halhams ukawa unagoma kuingia nikawapigia wakanipa toke za kundi mbili ijumaa yani kila kundi ina namba 20 jumla arobaini kundi la pili lilikosewa. Nikawapigia tena jumatatu wakanipa upya. So wanapokea kusema ahwapokei ni uongo. piga simu
 
Back
Top Bottom