Kuna siku inakuja ambapo mashabiki wa Simba na Yanga wataungana na kuwa kitu kimoja .

Kuna siku inakuja ambapo mashabiki wa Simba na Yanga wataungana na kuwa kitu kimoja .

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Siku hiyo haitakuwa uwanja wa Taifa , lakini hatimaye soka la Tanzania litafanya muunganiko mmoja matata sana utakaokumbukwa milele .

Mungu zibariki Simba na Yanga .
 
Hio hio siku CCM na CHADEMA zitaungana pia

Ndoto tamu
 
Hapo mwishoni ilibidi umalizie hivi, I Have A Joke!
 
Back
Top Bottom