BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Ningependa tushare experience hususani ya malezi ya mtoto chini ya miaka sita ukiwa kama baba yaani full responsibilities kuhakikisha mtoto anapata huduma zote za msingi.
Binafsi Nina mpango wa kuishi na mwanangu baada ya kujilidhisha pasipo na shaka kuwa mzazi mwenzangu anaelekea kushindwa na majukumu ya malezi kutokana na kuwa na watoto wengine wawili.
Binafsi Nina mpango wa kuishi na mwanangu baada ya kujilidhisha pasipo na shaka kuwa mzazi mwenzangu anaelekea kushindwa na majukumu ya malezi kutokana na kuwa na watoto wengine wawili.